Tunapokea msemaji wa kijeshi wa MONUSCO aliyeko Goma ili atupe taarifa kuhusu shughuli za Jeshi katika wiki iliyopita. Meja Alfred Mwabili anazungumzia pia matokeo ya shughuli za kikosi cha Pakistani kilichomaliza kazi yake nchini DRC, pamoja na msaada wa vifaa vilivyotolewa na kikosi cha China kwa viongozi wa Kongo kabla ya kuondoka DRC. Meja Alfred Mwabili anazungumza na Sifa Maguru.
Sur le même thème
RDC: «La question des droits de l’homme fait l’objet d’un recul grave», selon le panel d’experts de la société civile
En République démocratique du Congo (RDC), la société civile s’inquiète et affirme qu’un climat de « terreur » s’est installé avec des arrestations et détentions arbitraires des militants. C’est « inacceptable sous le régime d’une personnalité avec laquelle […]
Soyez le premier à commenter