Walungu: Mwalimu mukuu BARHALIKUBAGIRWA BUHENDWA Damase, Candideti nambari 46

BARHALIKUBAGIRWA BUHENDWA

Walungu: Mwalimu mukuu BARHALIKUBAGIRWA BUHENDWA Damase ,candideti nambari 46, ni chaguo la wakaaji wa walungu kwa kiti cha ubunge jimboni kivu kusini.

Akiji unga na kazi zake mushamuka waki taifa Norbert Basengezi katintima, Candideti nambari 46 ana alika wakaaji wa walungu kumu chaguwa kwa ajili ya ma endeleo ya jamaa na jamii. Professa Damase ni mu gombea kwenye kiti cha ubunge tarafani walungu mwenye maono yaku tetea raiya wa walungu katika maadibisho, elimu, afya na kazalika.


Ni mwalimu ambaye tayari ame juza watu wengi munamo viuo viku vya walungu kwa ujumla na kaziba kwa upekee. Aki tumika kwa faida ya wakaaji tangu myaka kazaa, damase ana omba wakaaji wa walungu kumu chaguwa kwa wingi ili kumu ruhusu ku endelesha kazi kwa ushirikiano na baba wa maendeleo Norbert Basengezi katintima, mu anzilishi wa chama cha ANCE.


Alipo hojeana na mwana ripota wa Rtnk Kaziba, prof damase ali onyesha ya kwamba namba 46 ndiye chaguo bora tariki 20 disemba ijayo. Kumu chaguwa, niku chaguwa afya, elimu, umoja na kazi za maendeleo yaku dumu. Tuwa kumbushe ya kwamba mugombea huyu ana kuwa kunako orodha ya uchaguzi munamo chama cha ANCE.

ISHARA TOTO Christian

Rtnk Kaziba

Charles Irenge Lwaboshi
A propos Charles Irenge Lwaboshi 1285 Articles
Charles IRENGE LWABOSHI est né à Kabembe le 25/05/1991. Fils de LWABOSHI MUTALYA Daniel et de FAIDA M'NANGANDO. Études faites et expériences profesionnelles : (1) Détenteur d'un diplôme d'état obtenu à l'Institut Namurhera de Kaziba INAKA; (2) Détenteur d'un diplôme de Graduat en Sciences Commerciales et Comptable à l'Institut Supérieur de Management ISM Bukavu; en 2010-2018: Journaliste chef des programmes à la Radio Umoja FM de Kaziba; 2013-2017: Enseignant à l'Institut CIMANYE II; 2018 à nos jours il travaille comme journaliste attaché de presse à l'Université de Kaziba; 2019 à nos jours il est directeur à la Radio télévision Ngoma ya Kivu RTNK KAZIBA. Actuellement: il es 1er Vice président territorial de Parlement de Walungu; il est président du Syndicat des Jeunes pour le développement de Kaziba dans le groupement de KABEMBE. Formation: Formation sur la Gestion des radio communautaires par le Centre Lokole; Renforcement de capacité des journalistes par le bureau de communication de la Monusco; Formation en informatique par le Centre de formation GlabalTech; Formation sur le journaliste sensible aux conflits par le DEUTCH VELÉ. Charles est marié à NZIGIRE YSEULT depuis 2013.

Soyez le premier à commenter

Laisser un commentaire