Accueil / Article

Roger Kasereka : Matokeo ya maandamano ya vurugu watu wengi wanaumia

Publicité

Écouter cet article

Roger Kasereka : Matokeo ya maandamano ya vurugu watu wengi wanaumia

Lecture audio disponible • Temps d’écoute : 1 min

00:00
01:00
Prêt à écouter.
Roger Kasereka : Matokeo ya maandamano ya vurugu watu wengi wanaumia KazibaOnline Audio Reader v0.1
00:00 01:00

Karibu vijana makumi tano kutoka Kata Ngongolio katika mji wa Beni walifahamishwa Siku ya Jumapili kuhusu maoni yao yasiyo ya vurugu. Ilikuwa wakati wa shughuli iliyoandaliwa na sehemu ya mawasiliano ya kimkakati na taarifa kwa umma ya Monusco Beni, kwa ushirikiano na Muungano wa Kongo wa Wanahabari Wanawake UCOFEM, na Umoja wa Vijana wa Maendeleo na Ujenzi, UJDR.

Publicité

Lengo la shughuli hii ni kupunguza kwa kiasi kikubwa maandamano ya vurugu katika wilaya hii, maarufu kwa kuwa moja ya moto zaidi katika jiji. Roger Kasereka, mkuu wa UJDR Ngongolio, anasema ameridhishwa na shughuli hiyo na kutoa wito kwa vijana kufahamu. Yeye ndiye mgeni wetu wa Siku, tunamsikiliza katika mahojiano haya na Sadiki Abubakar.

Transparence éditoriale

Crédibilité, sources et corrections

Kaziba Online valorise la mémoire communautaire avec prudence, respect des personnes et vérification progressive des informations publiées.

Publié le27 mai 2024
Dernière mise à jour27 mai 2024
Auteur / contributeurKaziba Online
Publicité

Laisser un commentaire