Écouter cet article
Alain Mugangu : Mvua ndiyo inasababisha kazi za kukarabati barabara zinaenda polepole
00:00
01:00
Prêt à écouter.
Alain Mugangu : Mvua ndiyo inasababisha kazi za kukarabati barabara zinaenda polepole
KazibaOnline Audio Reader v0.1
00:00
01:00
Katika Kivu Kusini, barabara zote za kitaifa ziko katika hali ya juu sana ya ubovu. Jiji la Bukavu linajikuta limetengwa kufuatana na kutopitika kwa barabara zinazounganisha jiji hilo na maeneo mengine. Je, kampuni ya serikali, Ofisi ya Barabara, ambayo inashughulikia kazi za barabara inafanyaje katika kukabiliana na changamoto nyingi za miundombinu. Injenia Alain Mugangu, mkurugenzi wake wa muda wa mkoa, anazungumza na Jean Kasami.

Laisser un commentaire
Vous devez vous connecter pour publier un commentaire.